Home Soka Yanga Yaifuata Mbeya City Kibabe

Yanga Yaifuata Mbeya City Kibabe

by Sports Leo
0 comments

Msafara wa watu 38 wa timu ya Yanga sc umeondoka mchana wa leo kuelekea jijini Mbeya katika mchezo waligi kuu dhidi ya Mbeya city utakaofanyika siku ya jumammosi katika uwanja wa Sokoine.

Msafara huo unaojumuisha wachezaji 24 huku idadi ya viongozi na benchi la ufundi ikiwa 14 umeondoka leo kwa ndege ya shirika la ndege la Air Tanzania kuelekea kuivaa timu hiyo katika awamu ya pili ya ligi kuu Tanzania huku kumbukumbu katika mchezo wa awali uliofanyika jijini Dar es salaam Yanga sc iliibuka na ushindi wa bao 1-0.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited