Home Soka Yanga,Azam Hakuna Mbabe

Yanga,Azam Hakuna Mbabe

by Sports Leo
0 comments

Hakuna mbabe ndilo neno rahisi unaloweza kulitumia baada ya mechi baina ya Yanga sc dhidi ya Azam fc kumalizika kwa suluhu licha ya mashambulizi makali kutoka pande zote.

Azam fc walikaribia kupachika mabao mawili kipindi cha kwanza lakini juhudi za kipa Metacha Mnata ziliwanyima mabao huku pia Sibomana na Molinga nao walikosa nafasi kadhaa za wazi.

Licha ya Benard Morrison kuleta kashikashi dakika za mwanzo kipindi cha pili Azam fc walifanikiwa kumdhibiti baada ya kumuingiza Bruce Kwangwa.

banner

Azam fc watasilia nafasi ya pili wakiwa na pointi 57 huku Yanga wakiwa na pointi 55 katika nafasi ya tatu.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited