Beki kisiki wa klabu ya Azam fc na timu ya taifa ya Tanzania Aggrey Morris ameanza mazoezi ya viungo ili kujiweka fiti baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda …
AFCON 2019
-
-
Timu ya taifa ya Algeria imetwaa ubingwa wa kombe la mataifa ya Afrika baada ya jana kuifunga Senegali 1-0 katika mchezo wa fainali uliofanyika katika uwanja wa kimataifa wa Cairo. …
-
Hatimaye timu ya taifa ya Nigeria(Super Eagles) imepoza machungu ya kufungwa nusu fainali baada kuibuka mshindi wa nafasi ya tatu katika michuano hiyo ambayo fainali itafanyika ijumaa ya leo kati …
-
Hatimaye baada ya miaka 17 kupita timu ya taifa ya Senegal imefanikiwa kuingia fainali ya michuano ya mataifa ya Afrika baada ya jana kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi …
-
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uganda(The cranes) Emmanuel Okwi yupo mbioni kukamilisha uhamisho wa kujiunga na timu inashiriki ligi kuu ya uarabuni (UAE) Fujairah Fc. Okwi mpaka sasa ni …
-
Kiungo Rasta mzimbabwe Thabani Kamusoko anasubiria kumalizika kwa Michuano ya Afrika (Afcon) ili kujua hatima yake ya klabu atakayoichezea msimu ujao. Kiungo huyo mwenye amesema tayari ana ofa tatu mezani …
-
Kamati ya usajili ya Yanga ambayo imetua nchini Misri kwa ajili ya kazi maalumu ya kuhakikisha inamalizana na mastaa ambao ilifanya nao mazungumzo kuhusu kutua klabuni hapo na baada ya …
-
Yanga sc imeendelea kuonyesha umwamba katika kufanya usajili baada ya kumalizana na nyota kadhaa ambao wapo katika michuano ya Afcon nchini Misri ili kuwahi kutuma majina shirikisho la soka barani …
-
Ni kama ndio basi tena kwa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars) baada ya jana kukubali kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya majirani Harambee stars katika mechi iliyochezwa jijini …
-
Hakuna kuangaliana usoni baina ya nchi jirani za Tanzania na Kenya katika michuano ya Afcon ambapo leo watakutana katika raundi ya pili ya kundi C baada ya timu zote kupoteza …