Klabu ya Manchester United imekubali kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza uliofanyika katika uwanja wa Villa Park nchin humo. Mpaka kufikia …
aston villa
-
-
Nahodha wa Tanzania aliyejiunga na klabu ya Uturuki,Fenerbahce kwa mkopo akitokea Aston Villa,Mbwana Samatta ameanza kufanya yake kwa mara ya kwanza ndani ya klabu hiyo mpya kwa kupachika mabao 2-1 …
-
Klabu aliyotoka nahodha wa kitanzania Mbwana Samatta ya huko Uingereza,Aston Villa imemsajili Ross Barkley kutoka Chelsea kwa mkopo hadi mwisho wa msimu wa 2020/2021. Kiungo huyo wa kimataifa alisajiliwa na …
-
Derby ya Uturuki imewakutanisha jana Galatasary na Fenerbahce ambayo anaichezea nahodha wa timu ya taifa Tanzania (Taifa Stars),Mbwana Samatta na mchuano kumalizika kwa sare ya kutofungana. Samatta aliyejiunga Fenerbahce kwa …
-
Nahodha wa Tanzania,Mbwana Samatta amefanikiwa kujiunga na klabu ya Fenerbahce ya uturuki kwa mkataba wa miaka minne akitokea Aston Villa inayoshiriki ligi kuu England. Samatta ameondoka Villa kutokana na nafasi …
-
Aston Villa imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji ,Ollie Watkins akitokea timu ya Brenford kwa kandarasi ya miaka miatano. Watkins amesajiliwa Aston Villa kwa paundi milioni 28 ambayo inaweza kufikia hadi …
-
Taarifa zinaeleza kuwa Aston Villa ina mpango wa kumsajili beki wa kati wa Sampdoria,Omar Colley ambaye ni rafiki wa nahodha wa timu ya Taifa la Tanzani( taifa stars),Mbwana Samatta. Colley …
-
Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania(Taifa Stars) Mbwana Samatta, ataendelea kukipiga katika klabu ya Aston Villa msimu ujao wa ligi kuu England baada ya timu yake kunusurika kushuka daraja …
-
Mtanzania Mbwana Samatta ambaye ni mshambuliaji wa Aston Villa ya nchini Uingereza na kinara katika timu ya Taifa (Taifastars) ya Tanzania, anatarajia kutua nchini wiki hii baada ya ligi ya …
-
Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania Mbwana Samatta amefanikiwa kusalia ligi kuu ya Uingereza baada ya timu yake ya Aston Villa kutoa sare ya 1-1 dhidi ya Westham United. …