Kocha Mkuu wa Burundi ‘Intamba Mu Rugamba’, Etienne Ndayiragije amemwaacha nje ya kikosi kiungo wa Simba SC, Saido Ntibazonkiza wakati Burundi ikijiandaa kukabiliana na Namibia kwenye michezo ya kufuzu Afcon …
burundi
-
-
Mshambuliaji Saido Ntibanzokiza aliyesajiliwa na Yanga sc kwa usajili wa dirisha dogo anatarajiwa kuwasili nchini muda wowote kuanzia sasa huku akiwa ameandaliwa mapokezi kabambe unaambiwa. Inadaiwa klabu hiyo imeandaa utaratibu …
-
Staa mpya wa klabu ya Yanga sc Saido Ntibanzokiza ameendelea kudhihirisha ubora wake baada ya kuisaidia timu ya Taifa ya Burundi kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mauritania …
-
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia, ameunda kamati ya ushindi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) ambayo mwenyekiti wake ni Ghalib Said Mohammed (GSM) huku makamu mwenyekiti …
-
Klabu ya Yanga Sc imejinasia saini ya Said Ntibazonkiza kutokea timu ya taifa Burundi akiwa kama mchezaji huru baada ya kukosa timu kwa muda mrefu. Ntibazonkiza amesaini dili la miaka …
-
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)imepokea kichapo mbele ya Burundi cha bao 1-0 kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa leo Octoba 11,uwanja wa Mkapa. Kwenye mchuano huo wa leo ambapo …
-
Waziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa anategemewa leo kuwa mgeni rasmi wa mechi ya kirafiki iliyopo kwenye ratiba ya FIFA baina ya Taifa Stars ya Tanzania na timu ya Taifa …
-
Mbwana Samatta amewasili leo kwa ajili ya kujiunga na kambi ya timu ya Taifa ya Tanzania inayojiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi utakaochezwa Oktoba 11 Jumapili kabla ya …
-
Timu ya wanawake nchini Tanzania Kilimanjaro Queens imewafunga Burundi mabao 5-1 kwenye mchezo wa kuwania kufuzu tiketi ya kushiriki kombe la dunia kwa wanawake. Kocha mkuu wa timu hiyo Bakari …
-
Kiungo mshambuliaji mpya wa klabu ya Yanga sc Issa Bigirimana amedai halioni lango anapokua anaichezea klabu hiyo kutokana na kupigwa misumari (Kurogwa) na mchezaji mwenzake wa timu hiyo. Mchezaji huyo …