Klabu ya Manchester United imekua na matokeo mazuri mfululizo baada ya kufanikiwa kuwachapa Everton 3-1 katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika uwanja wa Old Trafford jijini Manchester ikiwa ni …
Everton
-
-
Klabu ya Everton imemteua mchezaji wa zamani wa klabu ya Chelsea Frank Lampard kuwa kocha mpya wa klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili na nusu ambapo tayari kocha huyo …
-
Taarifa zinaeleza kuwa huenda mashabiki wa soka nchini Uingereza wanaweza kurejea tena viwanjani hivi karibuni baada ya mashabiki hao kutoa ombi lililopata saini nyingi bungeni hapo na kupangwa kujadiliwa Novemba …
-
Klabu aliyotoka nahodha wa kitanzania Mbwana Samatta ya huko Uingereza,Aston Villa imemsajili Ross Barkley kutoka Chelsea kwa mkopo hadi mwisho wa msimu wa 2020/2021. Kiungo huyo wa kimataifa alisajiliwa na …
-
Wolves, Newcastle na Everton ni miongoni mwa vikosi zinavyowania saini ya beki wa Arsenal Maitland-Niles ambaye anatazamiwa kuondoka Emirates mwishoni mwa Agosti, 2020. Beki huyo ambaye pia ni mzaliwa wa Uingereza …
-
Klabu ambayo nyota Mtanzania,Mbwana Samatta anaichezea nchini England,Aston Villa imepoteza matumaini ya kubaki ndani ya Ligi kuu England baada ya kutoka sare ya bao 1-1 na Everton. Aston Villa walianza …
-
Everton ilikutwa jana na mvua ya mabao mengi kutoka Chelsea na kujikuta wakilowana na kutetemeka kwa baridi ya mabao 4-0 katika uwanja wa Stamphord Bridge,mchezo uliosimamiwa na refa kutoka England …
-
Shirikisho la soka la nchini Uingereza(Fa) limeifuta kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa timu ya Tottenham Hotspurs Son Heung-min baada ya kujiridhisha kuwa kuwa mchezaji huyo hakumgusa mchezaji wa Everton Andre …
-
Klabu ya Everton ya nchini England, imethibitisha kuwa mchezaji wao Andre Gomes atafanyiwa upasuaji leo hii nchini humo. Gomes alivunjika mguu wake wa kulia siku ya jana katika mchezo wa …
-
Paris st.German(PSG) wamekamilisha usajili wa kiungo msenegali Idrissa Gana Gueye kutoka klabu ya Everton kwa dau la paundi milioni 29 kwa mkataba wa miaka minne huku kukiwa na kipengele cha …