Kutokana na mvua kubwa kunyesha leo Jijini Dar-es-salaam,imepelekea mechi ya kirafiki ya Simba Sc dhidi ya Ndanda Fc kughairishwa. Mechi hiyo ilitakiwa kuchezwa leo Octoba 13, majira ya saa 11:00 …
Tag:
ligi daraja la kwanza
-
-
Kikosi cha Simba kipo tayari kuvaana na Ndanda Fc inayoshiriki ligi daraja la kwanza leo Octoba 13,katika uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar-es-salaam. Mchezo huo utakaochezwa majira ya …