Uongozi wa Yanga Sc umefikia makubaliano ya kumfuta kazi kocha mserbia,Zlatko Krmpotic jana Octoba 3,ambaye alichukua mikoba ya Luc Eymael. Zlatko amekiongoza kikosi cha Yanga kwenye mechi tano za ligi …
ligikuubara
-
-
Yanga Sc imepata ushindi leo Octoba,3,2020 wa mabao 3-0 mbele ya Coastal Union katika mchezo wa ligi kuu bara uliofanyika uwanja wa Mkapa majira ya saa 1:00 usiku. Kipenzi cha …
-
Gwambina FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ihefa Fc katika mchezo wa leo wa raundi ya tano ligi kuu bara msimu 2020/2021. Mchezo huo ulichezwa uwanja wa …
-
Coastal Union ambao watamenyana leo Octoba,3 na Yanga Sc uwanja wa Mkapa jijini Dar-es-salaam wamejihakikishia kuchukua pointi tatu muhimu leo katika mchuano huo utakaochezwa majira ya saa 1:00 usiku. Kocha …
-
Klabu ya Young Africans Sc imetozwa faini ya laki tano (500,000) kwa kosa la mashabiki wa timu yake kuonyesha vitendo vya utovu wa nidhamu kwa kuwapiga na kuwachania jezi mashabiki …
-
Simba Sc imeibuka na kauli mbiu mpya kuelekea mechi ya watani wa jadi itakayochezwa Octoba 18 mwaka huu uwanja wa Uhuru jijini Dar-es-salaam na matokeo yatakayopatikana ambayo ni ‘Zin Zala …
-
Azam Fc iliyo chini ya kocha mkuu,Aristica Ciaoba imepania kuupata ubingwa wa ligi kuu bara msimu huu wa 2020/2021 baada ya kujua mapungufu yao yapo wapi na kuyafanyia marekebisho. Klabu …
-
Tunombe mukoko ameiongoza Yanga Sc kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya KMKM kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa siku ya jana katika uwanja wa Azam Complex uliopo …
-
KMKM Sc ya Zanzibar tayari imewasili leo jijini Dar tayari kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Yanga Sc utakaochezwa leo Septemba 30,uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi. Mchezo huo …
-
Yanga Sc kupitia kwa mkurugenzi wa uwekezaji wa GSM,Hersi Said wamethibitisha kumuongezea mkataba beki wao wa kimataifa,Lamine Moro ambaye iliripotiwa kuwa mkataba wake unakaribia kufikia ukingoni msimu ujao 2021. Lamine …