Klabu ya Manchester United imeibuka na alama tatu katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza dhidi ya Tottenham baada ya kuifunga mabaoa 2-0 katika mchezo mzuri na wa kuvutia uliofanyika …
Manchester United
-
-
Klabu ya Manchester united chini ya kocha Erick Ten Hag imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Liverpool fc katika mchezo wa mzunguko wa tatu wa ligi kuu …
-
Klabu ya Manchester United imefungwa mabao 4-1 na Manchester City katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza uliofanyika katika uwanja wa Ettihad jijini Manchester. Mabao mawili ya Kelvin De Bryune …
-
Baada ya kupitia kipindi kigumu katika michezo mbalimbali ya ligi kuu nchini Uingereza hatimaye klabu ya Manchester United imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya Villareal inayonolewa …
-
Tetesi zinaeleza kuwa bosi wa Manchester United ,Ed Woodward hatasita kumfuta kazi kocha mkuu wa miamba hiyo ya Oldtrafford,Ole Gunnar Solskajaer kama Man United itaendelea kupata matokeo mabovu msimu huu. …
-
Manchester United wamekuwa na imani kubwa baada ya kumsajili fowadi wa zamani wa PSG,Edinson Cavani bila ada yoyote siku ya jana kabla ya dirisha la usajili kufungwa. Cavani aliyeondoka mwishoni …
-
As Roma wamemsajili beki wa Manchester United,Chris Smalling kwa kandarasi ya miaka mitatu huku wakiweka mezani kiasi cha bilioni 1.9. Usajili huo ulikamilishwa na shirikisho la soka la Italia dakika …
-
Manchester United imeshushiwa mvua ya mabao 6-0 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa jana wa ligi kuu England uliofanyika Old Trafford na kupoteza pointi tatu muhimu mbele kikosi hicho kinachonolewa …
-
Miongoni mwa dili ambalo limezungumzwa kwa muda wote na halijaonesha mafanikio ndani ya Manchester united ni la Jadon Sancho ambaye ameifungia Borrusia Dortmund jumla ya mabao 20 msimu uliopita na …
-
Kocha mkuu wa Tottenhum Hotspurs,Jose Mourinho amekiri kutokuwa na uhakika kuhusu wakati ambapo sajili mpya Gareth Bale atarejea uwanjani kusakata soka, lakini amesema anatamani mno kumpa nafasi nyota huyo nafasi …