Kutokana na mvua kubwa kunyesha leo Jijini Dar-es-salaam,imepelekea mechi ya kirafiki ya Simba Sc dhidi ya Ndanda Fc kughairishwa. Mechi hiyo ilitakiwa kuchezwa leo Octoba 13, majira ya saa 11:00 …
simbasc
-
-
Kikosi cha Simba kipo tayari kuvaana na Ndanda Fc inayoshiriki ligi daraja la kwanza leo Octoba 13,katika uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar-es-salaam. Mchezo huo utakaochezwa majira ya …
-
Waziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa anategemewa leo kuwa mgeni rasmi wa mechi ya kirafiki iliyopo kwenye ratiba ya FIFA baina ya Taifa Stars ya Tanzania na timu ya Taifa …
-
Prince Dube mwenye hasira ya kuchukua kiatu cha dhahabu ndani ya msimu huu mpya wa ligi kuu 2020/2021 ambacho kwa sasa Meddie Kagere anakishikilia ,anazidi kujiwekea akiba ya mabao ndani …
-
Kikosi cha Simba Sc kimesema kuwa kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo utakaopigwa uwanja wa Jamhuri dhidi ya JKT Tanzania ikiwa ni mchezo wa raundi ya tano ligi …
-
Klabu ya Young Africans Sc imetozwa faini ya laki tano (500,000) kwa kosa la mashabiki wa timu yake kuonyesha vitendo vya utovu wa nidhamu kwa kuwapiga na kuwachania jezi mashabiki …
-
Simba Sc imeibuka na kauli mbiu mpya kuelekea mechi ya watani wa jadi itakayochezwa Octoba 18 mwaka huu uwanja wa Uhuru jijini Dar-es-salaam na matokeo yatakayopatikana ambayo ni ‘Zin Zala …
-
Azam Fc iliyo chini ya kocha mkuu,Aristica Ciaoba imepania kuupata ubingwa wa ligi kuu bara msimu huu wa 2020/2021 baada ya kujua mapungufu yao yapo wapi na kuyafanyia marekebisho. Klabu …
-
Simba Sc imezidi kuweka alama kimataifa baada ya mtendaji wao mkuu ,Barbara Gonzalez na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya Simba Sc,Mulamu Nghambi kukutana na kufanya mazungumzo na rais wa …
-
Kiungo mkabaji wa Simba Sc, Gerson Fraga atakuwa nje kwa wiki tatu hadi nne baada ya kupata majeraha ya goti siku ya Jumapili ilipocheza na Biashara United. Taarifa hiyo imethibitishwa …