Kamati ya maadili ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) imewatoza faini ya shilingi milioni tano,ofisa habari wa Simba Sc, Haji Manara, ofisa habari wa Yanga Sc, Hassan Bumbuli pamoja na …
simbasc
-
-
Kocha mkuu wa Simba SC,Sven Vandenbroeck amesema kwa sasa anakiandaa kikosi chake maalum kwa mchezo ujao wa ligi kuu bara utakaofanyika uwanja wa Mkapa dhidi ya Biashara United siku ya …
-
Aliyekuwa kiungo wa Simba Sc, Sharaf Shiboub ameamua kutimkia zake Algeria na kujiunga na klabu ya Cs Constantine inayoshiriki ligi kuu nchini humo. Shiboub amejiunga na klabu hiyo yenye mtaji …
-
Kikosi cha Simba Sc kimewasili jijini Dar es Salaam leo kikitokea Mbeya ambapo kilikuwa na mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa ligi kuu bara dhidi ya Ihefu Fc. Mchezo huo …
-
Simba Sc wamelifungua vyema pazia la Ligi kuu bara baada ya kunyakua pointi tau kutoka kwa Ihefa Fc iliyoburuzwa kwa mabao 2-1. John Bocco ambaye ni nahodha wa klabu hiyo …
-
Kocha mkuu wa Simba Sc, Sven Vandenbroeck amemtangaza John Bocco kama nahodha wa timu hiyo na chaguo lake katika kikosi chake cha kwanza katika msimu mpya wa ligi kuu bara …
-
Msimu mpya wa ligi kuu Tanzania bara unaoanza leo Septemba 6 unakutanisha timu 12 kuvaana katika viwanja tofauti ili kusaka pointi tatu muhimu kwani zote zinahitaji kutwaa taji la ligi …
-
Nyota aliyemaliza msimu wa 2019/2020 akiwa Lipuli Fc iliyoshuka daraja na kuibukia Gwambina Fc,Darueshi Saliboko ameweka wazi kupambana na kujitengenezea mazingira ya kuwania kiatu cha dhahabu katika msimu wa ligi …
-
Yanga Sc wamekanusha taarifa za mtandaoni zilizoenea kuwa wamelifuta jina la mchezaji wao wa 28,Benard Morrison kwenye orodha ya wachezaji wa msimu wa 2020/2021. TFF iliamua kesi hiyo kwa kuliondoa …
-
Uongozi wa Simba Sc umemtangaza mtendaji mkuu mpya wa klabu yao(CEO), Barbara Gonzalez ambaye atakuwa mrithi katika kiti cha Senzo Mbatha ambaye alijiuzulu na kuibukia Yanga Sc. Mkurugenzi wa bodi …