Uongozi wa Simba Sc umemtambulisha rasmi ,Charlse Ilanfya kwenye kikosi kinachonolewa na kocha mkuu Sven Vandenbroeck. Ilanfya alikuwa anakipiga ndani ya KMC ambapo aliibukia huko msimu wa 2018/19 akitokea labu …
simbasc
-
-
Nyota wa zamani wa klabu ya Gor Mahia,Joash Onyango ametambulishwa rasmi leo ndani ya Simba sc baada ya kusaini kandarasi ya miaka miwili kuitumikia timu hiyo. Onyango alishawahi kufanya kazi …
-
Abdulhalim Humud wa Mtibwa Sugar amejiunga na Namungo Fc leo Agosti 13 iliyo chini ya Hitimana Thiery kwa dili la miaka miwili. Humud akiwa Mtibwa Sugar msimu wa 2019/20 alihusika …
-
Kesi ya Benard Morrison na Yanga Sc imeisha baada ya mchezaji huyo kushinda kesi yake kuhusu mkataba wake dhidi ya timu ya Yanga baada ya kuonekana kuwa mkataba huo una …
-
Tetesi zinaeleza kuwa ofisa mtendaji mkuu wa Simba, Senzo Mazingisa siku ya Jana jioni alikabidhi ofisi na nyaraka za klabu hiyo kwa madai ya kuwa hakuwa akisikilizwa huku taarifa zingine …
-
Kiungo mshambuliaji wa Yanga,Benard Morrison ametambulishwa rasmi leo ndani ya kikosi cha Simba ukiwa ni usajili wa kwanza kwa ajili ya msimu wa 2020/2021. Thamani ya dau lake linatajwa kuwa …
-
Namungo Fc ya Lindi imeamua kumalizana na mchezaji kutoka Lipuli Fc,Fredy Tangalo ambaye amesaini kandarasi ya miaka miwili akiwa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake kuisha. Huu ni usajili …
-
Uongozi wa KMC umethibitisha kuwa Charlse Ilanfya ni mali rasmi ya Simba Sc kwani ndio klabu pekee iliyopeleka ofa ya kupata saini ya mshambuliaji huyo. Ilanfya aliibukia ndani ya KMC …
-
Clatous Chama wa Simba Sc amekabidhi msaada wa Tsh milioni 1 katika kituo cha watoto yatima cha Maunga kilichopo Kinondoni, Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya utekeleza wa ahadi …
-
Inaelezwa kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajibu anaweza kutolewa kwa mkopo kwenda ndani ya klabu ya KMC. Nyota huyo alijiunga na Simba kwa dili la miaka miwili akitokea klabu …