Licha ya kutanguliwa kufungwa mabao 2 na timu ya taifa ya Ubelgiji,Timu ya taifa ya Ufaransa imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya timu ya Ubelgiji katika mchezo …
ufaransa
-
-
Baada ya kubainika kuwa makipa wote wa Ukraine 1 hadi namba 3 wana Corona katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kati ya Ufaransa na Ukraine siku ya jana Octoba 7,2020 kocha …
-
Kikosi cha Amiens nchini Ufaransa nacho kimeanza mchakato wa kisheria dhidi ya maonevu baada ya kuteremshwa daraja kwenye ligi kuu ya Ufaransa (Ligue 1) msimu huu huku Paris Saint-Germain (PSG) …
-
Mshambuliaji wa wakidachi ,Memphis Depay ameripotiwa anaweza kuhama Olympique Lyon baada ya timu hiyo kushindwa kufuzu michuano ya Ulaya kutokana na msimu wa Ligue 1 kusitishwa na bingwa kutangazwa PSG …
-
Baada ya PSG kutangazwa kuwa ni mabingwa wa ligi kuu Ufaransa ‘Ligue 1’na  kufahamika kuwa ligi hiyo haiwezi kuendelea tena kwa msimu huu, beki ambaye pia ni nahodha wa timu …
-
Lyon wamepanga kukata rufaa ya kupinga maamuzi ya kuhitimishwa kwa Ligue 1 mapema kitu ambacho kimeifanya klabu hiyo kushindwa kufuzu mashindano ya Ulaya (European Football) kwa mara ya kwwnza tangu …
-
Wakati England na baadhi ya timu zikianza mazoezi kwa ajili ya kuangalia mustakabali wa kuendelea kwa msimu huu, timu za Hispania zikiwemo Madrid na Barcelona zenyewe mazoezi zitaanza Jumatatu ijayo. …
-
Serikali ya Ufaransa imezuia kuendelea kwa michezo hadi Septemba mwaka huu, huku Waziri Mkuu wa Ufaransa, Edouard Philippe akisema msimu wa 2019/20 umekwisha kwani hawawezi kuingia uwanjani bila ya mashabiki …
-
Mara baada ya Rais wa shirikisho la Kandanda la Ufaransa bwana “Noel Graet” kusema kuwa, Benzema kucheza timu ya Taifa haitowezekana, Karim Benzema amefunguka na kumjibu Rais huyo na kusema …
-
Imebainika kwamba mshambuliaji wa Atletico Madrid Antoine Griezmann atajiunga na Barcelona msimu ujao baada ya kuitumika klabu hiyo ya jijini Madrid kwa miaka mitano kwa mafanikio makubwa. Hayo yamethibitishwa na …