Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) limeboresha maslahi ya wachezaji wake wa timu ya Taifa hasa kuelekea katika mchezo muhimu wa kufuzu Afcon ambapo awali posho ya siku ilikuwa Sh1.2 milioni …
Uganda
-
-
Timu ya Taifa ya Uganda (Uganda The Cranes) imezima matumaini ya Tanzania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika mwaka 2023(Afcon 2023) zitakazofanyika nchini Ivory Coast baadaya kufanikiwa kuibuka na ushindi …
-
Shirikisho la soka nchini Tanzania (Tff) limetangaza kutokua na kiingilio katika kuushuhudia mchezo baina ya Timu ya Taifa ya Tanzania itakayocheza mchezo dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda (The …
-
Timu ya taifa ya wanawake Kilimanjaro Queens wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 baada ya kuipa kichapo Uganda kwenye mchezo wa kufuzu tiketi ya kushiriki kombe la dunia uliochezwa leo …
-
Klabu ya Yanga imvunja mkataba na mshambuliaji Juma Balinya baada ya pande mbili kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba huo wa miaka miwili uliosainiwa miezi sita iliyopita. Balinya aliyekuwa mfungaji bora …
-
Timu ya taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) imetoka sare na timu ya taifa ya Sudan katika mchezo wa ufunguzi wa michuano ya chalenji uliochezwa katika uwanja wa KCCA nchini Uganda …
-
Timu ya soka ya taifa ya wanawake Kilimanjaro Queens imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya chalenji baada ya kuwafunga Uganda katika mchezo wa nusu fainali uliofanyika uwanja wa …
-
Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) limetoa onyo kwa nchi ya Uganda kuwa litaifungia kujihusisha na masuala ya soka ikiwa serikali ya nchi hiyo itaingilia masuala ya soka. Onyo hilo limetolewa …
-
Mshambuliaji wa zamani wa timu ya Simba sc Emmanuel Okwi amekumbwa na ukame wa mabao baada ya kucheza mechi tatu za ligi kuu nchini Misri na kushindwa kufunga bao. Okwi …
-
Shirikisho la soka nchini Uganda (Fufa) limemteua Johnny Mckinstry raia wa Ireland kuwa kocha wa Timu ya taifa ya Uganda (The cranes) kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo. Kocha huyo …