Klabu ya Yanga sc imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbao Fc katika mchezo wa kombe la shirikisho la Azam Sports uliofanyika katika uwanja wa Ccm Kirumba jijini …
yangasc
-
-
Mabingwa watetezi wa kombe la Mapinduzi Yanga sc imeyaaga mashindano hayo baada ya kupoteza mchezo wa nusu fainali ya michuano hiyo hii leo dhidi ya Azam fc. Changamoto ya mikwaju …
-
Miamba ya soka Tanzania Bara Yanga na Azam fc wanatarajia kumenyana katika mechi kali ya nusu fainali ya kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar. Baada ya ushindi wa 5-1 dhidi …
-
Miamba mitatu ya soka nchini Tanzania vilabu vya Simba,Yanga na Azam vimefuzu hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la Mapinduzi inayoendelea huko visiwani Zanzibar. Azam walio kundi A …
-
Mabingwa watetezi wa kombe la Mapinduzi Yanga sc wamefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya kombe hilo licha ya kulazimishwa sare ya 2-2 na mabingwa wa soka Zanzibar KMKM leo …
-
Klabu za Simba na Yanga zimezanza vizuri mechi zao za kwanza za kombe la Mapinduzi baada ya kupata ushindi wa 2-0 kila moja na kuweka mzaingira mzauri ya kufuzu hatua …
-
Klabu ya soka ya Yanga imeingia mkataba na makampuni ya Kilinet na N-Card kwaajili ya utengezaji wa kadi za wanachama wa klabu hiyo ikiwa ni sehemu ya hatua za awali …
-
Mabingwa wa kihistoria nchini Yanga sc imefanikiwa kuinasa saini ya mshambuliaji wa Mbeya Kwanza Crispin Ngushi na kumtambulisha rasmi usiku wa kuamkia leo ndani ya makao makuu ya klabu hiyo …
-
Klabu ya soka ya Yanga imefunga mwaka 2021 na kufungua mwaka 2022 vizuri baada ya kupata ushindi mnono wa 4-0 dhidi ya wauza zabibu Dodoma Jiji. Mchezo huo wa mzunguko …
-
Uongozi wa klabu ya soka ya Yanga umetangaza rasmi kuachana na wachezaji wake Ditram nchimbi pamoja na Adeyun Swalehe waliojiunga na klabu ya Geita Gold baada ya kumalizika kwa mikataba …