Home Makala Simba sc Yalamba Udhamini M-bet

Simba sc Yalamba Udhamini M-bet

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba sc imefanikiwa kuingia mkataba wa udhamini wa jezi na kampuni ya michezo ya kubashiri ya M-bet mkataba ambao unasidikika kuwa ni mnono kwa muda wa miaka mitano ambapo kampuni hiyo italipa kiasi cha Shilingi za kitanzania Bilioni Tatu kila mwaka.

Japokua Simba sc haijatangaza rasmi dili kuhusu dili hilo tayari hivi leo mastaa wa timi hiyo wameonekana wakiwa wamevalia jezi zenye nembo ya kampuni hiyo wakati wakiwa uwanja wa ndege wa Julias Nyerere wakielekea nchini Misri kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya.

Habari za ndani zinadai kuwa klabu hiyo imeingia mkataba na kampuni hiyo wa miaka mitano wenye thamani ya bilioni 15 za Kitanzania huku pia kukiwa na kipengele cha kufanya mapitio ya mkataba kila msimu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited