Home Masumbwi Mandonga Amtaka Dullah Mbabe

Mandonga Amtaka Dullah Mbabe

by Sports Leo
0 comments

Bondia Karim Mandonga “Mtu Kazi” sasa amehamishia hasira zake kwa bondia Dullah Mbabe akitaka kupambana nae baada ya kutokea kujibizana kwa maneno baina yao.

Mandonga ambaye amekua maarufu nchini kutokana na kuwa na maneno ya shombo huku akipoteza mapambano licha ya kupewa kipaumbele kutokana na mikwara yake na maneno ya vitisho.

Mara ya mwisho bondia huyo alipigwa kwa Knock Out na Shabani Kaoneka katika pambano lililofanyika mjini Songea mkoani Ruvuma katika raundi ya nne tu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited