Home Makala Yanga sc Kutua Nigeria Kibabe

Yanga sc Kutua Nigeria Kibabe

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc inatarajiwa kuondoka nchini kuelekea nchini Nigeria siku ya Alhamis usiku kwa ajili ya mchezo wa kombe la shirikisho  dhidi ya River United utakaofanyika siku ya Jumapili jioni nchini humo.

Yanga sc imefanikiwa kufika katika hatua ya robo fainali ya kombe la shirikisho baada ya kuwa kinara wa kundi D huku Rivers United ikiwa mshindi wa pili katika kundi B na hivyo droo iliyofanywa na shirikisho la soka barani Afrika kuwakutanisha katika hatua ya robo fainali.

Yanga sc inapaswa kujipanga zaidi katika mchezo huo ikizingatiwa kwamba Rivers United imekua ni timu kuifunga haswa ikiwa nyumbani ambapo katika hatua ya makundi ilipata ushindi nyumbani dhidi ya timu ngumu ya Wydan Casablanca huku ikiwa katika nafasi ya pili ya kundi B katika ligi kuu ya nchini Nigeria.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited