Home Soka Pyramid Watua na Dege la Kutisha

Pyramid Watua na Dege la Kutisha

by Dennis Msotwa
0 comments

Timu ya Pyramids Fc imetua jijini Mwanza jana kwa kutumia ndege ya kukodi ambayo iliwatoa moja kwa moja kutoka nchini Misri mpaka jijini Mwanza kucheza mchezo wa kimataifa dhidi ya Yanga katika uwanja wa Ccm Kirumba.

Baada ya kutua kocha wa timu hiyo Sebastian Desabre alisema timu hiyo itajitahidi kuendana na mazingira ili kuweza kuibuka na ushindi katika mchezo huo japo mchezo hatutakuwa rahisi.

“Nawajua Yanga vizuri wakiwamo wachezaji wake kama yule Nahodha (Tshishimbi) na Balinya na ninawajua ni wazuri na mechi itakuwa ngumu ila tunataka ushindi” alisema Sebastien .

banner

Timu hiyo leo itafanya mazoezi katika uwanja wa Ccm kirumba ambao utatumika kwa ajili ya mchezo huo hapo kesho

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited