Home Soka Mauaji ya Mwaka

Mauaji ya Mwaka

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Leicester city inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza imefanya kufuru ya mwaka baada ya kuifunga timu ya Tottenham mabao 9-0 katika mchezo wa ligi kuu nchini humo uliofanyika jana ijumaa.

Kalamu ya mabao ya timu hiyo ilifunguliwa na Ben Chillwel dakika ya 10 ya mchezo kabla ya Ayoze Perez kufunga mabao matatu dakika za 19′,39′ na 57′ huku jamie Vardy nae akitupia hatrick dakika za 45′,58′ na 90+4 na kiungo anayehusudiwa na manchester united James Maddison akifunga dakika ya 85.

Southampton walipata pigo dakika ya 12 baada ya Ryan Bertland kuonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja na kufanya timu hiyo kubakia na watu kumi uwanjani.

banner

Ushindi huo umefikia rekodi iliyowekwa na Manchester united ya kushinda mabao 9-0 mwaka 1995 dhidi ya Ipswich Town.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited