Home Makala Paulo Dybala Avunja Ukimya.

Paulo Dybala Avunja Ukimya.

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa Juventus Paulo Dybala avunja ukimya baada ya tetesi kusemekana kuhitaji kuhamia Manchester United na Tottenham.

Juventus wanahitaji kumpa mkataba mpya Paulo Dybala na upo mezani kwa sasa japo Manchester United pia wanamuhitaji.

Matamanio makubwa ya Manchester United ni kumsajili mchezaji huyo tangu 2019 katika mpango wa kubadilishana na Romelu Lukaka.

banner

Tafrani kubwa ilitokea baada ya Manchester United kumsajili Alexis Sanchez.

Man united  walisema kuwa “Tupo radhi kumchukua Paulo Dybala au Anthoine Grezmann badala ya Alexis Sanchez”

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited