Home Makala MO Dewji Aomba Radhi Simba.

MO Dewji Aomba Radhi Simba.

by Dennis Msotwa
0 comments

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi  Simba Sc Mohammed Dewji ametangaza kurejea kwenye nafasi ya uwenyekiti baada ya jana kutangaza kujiengua kufuatia kipigo cha bao 1-0 walichopigwa Simba kwenye fainali ya Mapinduzi Cup.

Aliomba radhi kutokana na akaunti zake kuibwa na nafasi hiyo kuchukuliwa kuposti maneno yale kupitia akaunti zake zote za mitandao ya kijamii.

Mohammed Dewji alisema “Kilichotokea jana sikukusudia ila tuko pamoja tunarudi kuendelea na ligi na tumejipanga pia nawapongeza Mtibwa Sugar kwa kuchukua kombe mimi ni SIMBA damu damu na nitabaki kuwa SIMBA”.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited