Home Makala Mkwasa Afunguka Juu Ya Hatma Yake

Mkwasa Afunguka Juu Ya Hatma Yake

by Sports Leo
0 comments

Kaimu kocha mkuu wa Yanga Boniface Mkwasa amesema kuwa kwa sasa hajui hatma yake tangu nafasi ya  Mwinyi Zahera kuchukuliwa na Mbelgiji Luc Eymael.

Tumefurahi ujio wa kocha mpya ndani ya Yanga na tunatoa ushirikiano wa kutosha kuhakikisha anafanya kazi vizuri kwa kumuelekeza utaratibu wote wa timu.

“Kwa upande wangu bado sijajua hatma yangu viongozi ndio wanaojua na ndio wenye majibu kuhusu uwepo wangu ndani ya timu ,kwa sasa bado naendelea kukinoa kikosi hadi kocha mpya atakapokabidhiwa rasmi kikosi”alisema Boniface Mkwasa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited