86
Timu ya Juventus inafikiria kuinasa saini ya Leroy Sane ambaye ni mchezaji wa Manchester City.
Sane ambaye ni raia wa Ujerumani amewekwa kwenye rada za Bayern Munichen ambao kwa muda mrefu walikuwa wanahitaji kuipata saini yake kabla hajapata majeruhi kwenye mchezo wa ngao ya Jamii mwezi Agosti.
Bayern Munichen wapo kwenye mpango wa kurejea mezani kuipata saini ya nyota huyo na inaelezwa itakutana na upinzani mkubwa kutoka kwa timu nyingine zinazoiwinda saini ya mchezaji huyo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.