Home Soka Bado Yupo Sana Tu

Bado Yupo Sana Tu

by Sports Leo
0 comments

Licha ya kutokuelewana na mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo Erick Abidal.Wawili hao walijibizana maneno baada ya Abidal kuwatuhumu wachezaji wa timu hiyo kutojituma na kusababisha matokeo mabovu.

Licha ya mgongano huo imeripotiwa kwamba Lionel hana mpango wa kuondoka klabuni hapo,kauli ambayo imezika ngebe ya timu zilizokua zinamvizia staa huyo zikiwemo manchester united,manchester city,Juventus na Intermilan.

Messi bado ana mkataba na klabu hiyo mpaka mwaka 2021 na ameamua atatumikia mkataba wake uliosalia klabuni hapo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited