Home Soka Caf Yasitisha Afcon

Caf Yasitisha Afcon

by Dennis Msotwa
0 comments

Shirikisho la soka barani Afrika (Caf) limesitisha mechi zote za kuwania kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika (Afcon) baada ya kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa Corona barani Afrika.

Caf imefikia hatua hiyo baada ya kujiridhisha kuwa ugonjwa huo unaonezwa kwa njia ya hewa umeanza  kusambaa barani Afrika huku tayari nchi kama Misri na Kenya zimeripoti kuwa na maambukizi nchini Mwao.

Kusimamishwa kwa mechi hizo inamaanisha kuwa mechi baina ya Tanzania na Tunisia iliyikuwa ichezwe mjini Tunis imeghairishwa mpaka hapo baadae.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited