Morocco Vs Zambia:Morroco Yafuzu 16 Bora Afcon
Timu ya Taifa ya Morocco imejibu presha ya mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi kwa kishindo baada ya kuichapa Zambia mabao 3-0 katika mchezo wa Kundi A wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliochezwa Jumatatu usiku, na hivyo kumaliza kama vinara wa kundi hilo wakiwa na pointi saba. Katika mchezo huo uliochezwa…
