Kategoria: Riadha
Magdalena Shauri Aandika Historia Chicago Marathon 2025
Magdalena Shauri Aandika Historia Chicago Marathon 2025 Mwanariadha nyota wa Tanzania, Magdalena Shauri, ameendelea kung’ara katika anga za kimataifa baada ya kushika nafasi ya tatu katika mbio maarufu za Chicago Marathon zilizofanyika leo, Jumapili, Oktoba 12, 2025, huko Marekani. Katika ushindani huo wa hali ya juu, Shauri ameweka alama mpya ya mafanikio kwa kuvunja rekodi…
Kiptoo Ashinda Athens Marathon
Mwanariadha kutoka nchini Kenya Edwin Kiptoo ameshinda tuzo katika mbio za 40 za has won Athens Marathon kwa kuvunja rekodi akikimbia kwa kutimua masaa mawili na dakika kumi na sekunde thelasini na nne pekee. Mwanariadha huyo mwenye miaka 30 aliwashangaza wengi baada ya kukimbia kilomita kumi pekee katika sehemu ya pili ya mbio hizo maarufu…
