Magdalena Shauri Aandika Historia Chicago Marathon 2025 | sportsleo.co.tz

Magdalena Shauri Aandika Historia Chicago Marathon 2025

Magdalena Shauri Aandika Historia Chicago Marathon 2025 Mwanariadha nyota wa Tanzania, Magdalena Shauri, ameendelea kung’ara katika anga za kimataifa baada ya kushika nafasi ya tatu katika mbio maarufu za Chicago Marathon zilizofanyika leo, Jumapili, Oktoba 12, 2025, huko Marekani. Katika ushindani huo wa hali ya juu, Shauri ameweka alama mpya ya mafanikio kwa kuvunja rekodi…

Soma Zaidi
2023 11 12T112902Z 1990212874 RC2MB4AEZR9T RTRMADP 3 ATHLETICS GREECE

Kiptoo Ashinda Athens Marathon

Mwanariadha kutoka nchini Kenya Edwin Kiptoo ameshinda tuzo katika mbio za 40 za has won Athens Marathon kwa kuvunja rekodi akikimbia kwa kutimua masaa mawili na dakika kumi na sekunde thelasini na nne pekee. Mwanariadha huyo mwenye miaka 30 aliwashangaza wengi baada ya kukimbia kilomita kumi pekee katika sehemu ya pili ya mbio hizo maarufu…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks