Gamondi Kusalia Stars Rasmi: Serikali Yamuidhinisha Miguel Gamondi Kuendelea Kuinoa Taifa Stars
Hatma ya benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, sasa imewekwa wazi baada ya Serikali kuthibitisha msimamo wake rasmi. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ametangaza kuwa Serikali imempitisha kocha Miguel Gamondi kuendelea kuwa Kocha Mkuu wa Taifa Stars, hatua inayothibitisha wazi kuwa Gamondi kusalia Stars si tetesi…
