Mshambuliaji anayekipiga ndani ya klabu ya Orlando Pirates,Justine Shonga bado yupo kwenye vichwa vya mabosi wa Simba wanaotaka kuipata saini yake huku kinachowapasua kichwa ni dau lililowekwa mezani.
Mabosi wa Simba wana hamu kubwa ya kumpata nyota huyo licha ya pesa inayohitajika kuanzia shilingi milioni 800, pia upo uwezekano wa kupungua na kumnyakua mwamba huyo ndio maana mazungumzo yanaendelea.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.