Home Soka Kotei Kiroho Safi Simba

Kotei Kiroho Safi Simba

by Dennis Msotwa
0 comments

Kiungo wa zamani wa klabu ya Simba sc James Kotei amezungumzia suala la kurejea katika klabu hiyo siku za karibuni baada ya kuondoka na kuacha pengo klabuni hapo.

Kotei ambaye sasa anacheza soka nchini Beralus baada ya kuachana na klabu ya Kaizer Chief ya nchini Afrika kusini.

Akijibu swali la mwandishi wa chombo cvha habari maarufu nchini alisema kwamba suala la kurudi Simba linawezekana kutokana na mahusiano yake na klabu hiyo.

banner

“Ubora wa Simba hakuna ambaye anaweza kugoma kufanya kazi kutokana na ushirikiano uliopo na ukizingatia kwamba sikugombana na viongozi.

“Iwapo itatokea kila kitu kimekwenda sawa nitarudi kuvaa jezi ya Simba kazi yangu ni mchezaji sichagui kambi,” amesema.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited