Home Soka Bayern Wamkomalia Sane

Bayern Wamkomalia Sane

by Sports Leo
0 comments

Bayern Munich bado wana nia ya kupata saini ya winga Leroy Sane kutoka Manchester City licha ya kuyumba kwa uchumi kutokana na janga la virusi vya corona .

Mkurugenzi wa Michezo wa Bayern Hasan Salihamidzic siku ya jumapili alisema kwamba klabu yake ina mpango wa kusajili vipaji viwili vya hali ya juu katika dirisha la usajili akiwemo Sane .

Bayern wanataka kulipa kuanzia kiasi cha Pauni Milioni 52 mpaka 60 , majira ya kiangazi yaliyopita alikuwa na thamani ya Pauni Milioni 87.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited