Kiungo wa klabu ya Simba, Sharaf Eldin Ali Shiboub amegoma kurejea Tanzania kujiunga na Simba kwa madai ya kutotimiziwa mahitaji yake binafsi
Viongozi wa Simba wanajua Shiboub ameshindwa kurejea nchini kwa wakati kutokana na kufungwa kwa mipaka ya Sudani kwa sababu ya ugonjwa wa Corona.
Nyota huyo ambaye mkataba wake unaisha mwezi ujao na Klabu ya Simba anadai kuwa ameshindwa kupata nafasi ndani ya Simba Kutokana na ujio wa kocha Sven Vandenbroeck ambaye amekuwa sio chaguo lake kwenye kikosi cha Kwanza hivyo anaweza asirudi kabsa baada ya mkataba wake kuisha.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Cc:African sports today