Home Soka Ni Bruno Fernandes Tena

Ni Bruno Fernandes Tena

by Sports Leo
0 comments

Kiungo sukari wa klabu ya Manchester United Bruno Fernandes ameibuka mchezaji bora wa mwezi juni kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuwa na msimu mzuri klabuni hapo.

Bruno aliyechangia jumla ya mabao 13 klabuni hapo msimu huu ametwaa tuzo hiyo baada ya kufanya vizuri tangu ligi irejee kutoka katika janga la Corona mwezi uliopita ambapo amefanikiwa kufunga mabao matatu kwa mwezi juni.

Bruno anakuwa mchezaji wa pili wa klabu ya Manchester United kushinda tuzo hiyo mfululizo tangu aliposhinda Cristiano Ronaldo mwaka 2006.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited