Home Soka Yanga Yaishusha Lipuli Fc

Yanga Yaishusha Lipuli Fc

by Sports Leo
0 comments

Ushindi wa bao mojam ilioupata klabu ya Yanga sc dhidi ya Lipuli Fc umeishusha daraja klabu hiyo rasmi na mwakani itacheza ligi daraja la kwanza.

Bao hilo lilifungwa na David Molinga dakika ya 38 lilidumu mpaka dakika 90 za mchezo huo na kuwafanya mashabiki waliofurika uwanja wa Samora kutoka vichwa chini baada ya timu yao ya Lipuli kushuka daraja.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited