Ushindi wa bao mojam ilioupata klabu ya Yanga sc dhidi ya Lipuli Fc umeishusha daraja klabu hiyo rasmi na mwakani itacheza ligi daraja la kwanza.
Bao hilo lilifungwa na David Molinga dakika ya 38 lilidumu mpaka dakika 90 za mchezo huo na kuwafanya mashabiki waliofurika uwanja wa Samora kutoka vichwa chini baada ya timu yao ya Lipuli kushuka daraja.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.