Bayern Munich imeitungua mabao 3-0 Lyon kwenye mchezo wa nusu fainali hatua ya Ligi ya Mabingwa Ulaya siku ya jana.
Bao la kwanza na la pili lilipachikwa na Gnabry dakika ya 18 na 33 ya kipindi cha kwanza cha mchezo huku lile la tatu lilifungwa na mshambuliaji Lewandowski dakika ya 88.
Fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya inatarajiwa kuchezwa Agosti 23 siku ya Jumapili kati ya PSG dhidi ya Bayern Munich ambapo wote wamepata matokeo yanayofanana kwenye nusu fainali.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
PSG ilitinga hatua ya fainali kwa kupata ushindi wa mabao 3-0 mbele ya Leipzig hivyo bingwa ataonekana Jumapili atakayesepa na taji.