Lebo: ligi ya mabingwa
CHELSEA SHANGWE LIVERPOOL AFA UTURUKI UEFA
Chelsea shangwe liverpool afa uturuki UEFA: Upande Mmoja Wakicheka kwa Ushindi wa Kimkakati Klabu ya Chelsea ilifanikiwa kupata ushindi wake wa kwanza kabisa katika kampeni za Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2025/26 kwa kuichapa Benfica kwa bao 1-0. Mchezo huu ulikuwa wa kipekee kwa sababu ulimrudisha Jose Mourinho, “The Special One”, uwanjani Stamford Bridge,…
