Home Makala TPLB Wapiga Stop Uwanja Wa Ushirika

TPLB Wapiga Stop Uwanja Wa Ushirika

by Dennis Msotwa
0 comments

Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imeufungia uwanja wa Ushirika uliopo jijini Moshi mkoani Kilimanjaro kuchezewa mechi zozote za mashindano kutokana na kukosa baadhi ya sifa za kikanuni kama zilivyoainishwa kwenye kanui ya sasa inayozungumzia uwanja na sheria namba moja ya mpira wa miguu unaozungumzia uwanja.

Kutokana na uamuzi huo wa kuufungia uwanja wa Ushirika,Bodi ya ligi imeitaka klabu ya Polisi Tanzania kuutumia uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo jijini Arusha kwa ajili ya mechi zake za nyumbani za ligi kuu ya vodacom 2020/2021.

Kamati ya leseni ya klabu itaufanyia ukaguzi uwanja huo baada ya marekebisho kukamilika.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited