Msigwa ajibu gharama za uwanja kupanda: Sababu za kuongezeka kwa gharama za Uwanja wa Arusha hadi Sh338.5 Bilioni

Msigwa ajibu gharama za uwanja kupanda: Sababu za kuongezeka kwa gharama za Uwanja wa Arusha hadi Sh338.5 Bilioni

Msigwa ajibu gharama za uwanja kupanda akieleza sababu zilizopelekea gharama za ujenzi wa Uwanja wa Arusha kuongezeka hadi Sh338.5 bilioni, maboresho ya viwango vya CAF na faida kwa michezo na utalii Tanzania. YALIYOMO (TABLE OF CONTENTS) Utangulizi wa mjadala wa Uwanja wa Arusha Kwa kipindi cha hivi karibuni, kumekuwa na mjadala mpana nchini Tanzania kuhusu…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 408163003 18207880882276348 8949866301890432886 n 1080

Singida FG Yahamia Karatu

Klabu ya Singida Fountain Gate itautumia uwanja wa Black Rhino Academy uliopo karate,Arusha kwa ajili ya michezo yake ya nyumbani baada ya kufungiwa kwa uwanja wake wa nyumbani wa  Liti ulioko mkoani Singida. Uwanja huo ni miongoni mwa viwanja vyenye nyasi asilia ambavyo ni bora hapa nchini huku eneo lake la kuchezea likiwa na ubora…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks