Home Soka ”Mimi ni Tanzania One” Mwakinyo Atamba

”Mimi ni Tanzania One” Mwakinyo Atamba

by Dennis Msotwa
0 comments

Bondia Hassan Mwakinyo amesema yeye ndie bondia namba moja nchini baada ya kumchapa Muajentina Jose Carlos Pazi katika pambano lililofanyika katika ukumbi wa ndani wa Next Door Masaki Dar es salaam.

Kwa ushindi wa Tko aliopata katika raundi ya nne,Mwakinyo amefanikiwa kutetea ubingwa wake wa WBF Intercontinental Super Welterweight.

“Nilikuwa nimejipanga kushinda na ninafurahi kushinda katika hili huu ni ushindi wa Tanzania kiujumla, mashabiki pamoja na Serikali ambayo inanipa sapoti,” alisema Mwakinyo wakati wa mahojiano na waandishi wa habari.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited