Home Soka Azam Fc Watulizwa na Kmc

Azam Fc Watulizwa na Kmc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Azam fc imefungwa bao 1-0 dhidi ya Kmc katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliofanyika katika uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam.

Reliants Lusajo alisababisha Azam Fc kupoteza mchezo wa pili wa ligi kuu baada ya kufunga bao pekee dakika ya 57 na kuipa alama tatu Kmc.

Azam Fc licha ya kupoteza mchezo huu badp wanabaki kileleni mwa msimamo wa ligi wakiwa na alama 26 huku Yanga sc wakiwafatia wakiwa na alama 24 na Simba sc wakiwa katika nafasi ya tatu wakiwa na alama 23.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited