Home Soka Pira Matapo Laibeba Kmc

Pira Matapo Laibeba Kmc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Kmc yenye maskani yake Kinondoni jijini Dar es salaam imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma jiji Fc katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

Bao pekee lililofungwa na Emmanuel Mvuyekure dakika ya 58 kupitia kona iliyopigwa na Ally Ramadhan lilitosha kuipa alama tatu timu hiyo inayomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited