FB IMG 1726768578025

Azam Fc Yachukua Alama 3 Kmc

Hatimaye kocha mpya wa klabu ya Azam Fc Rachid Taoussi ameibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Klabu ya Kmc katika mchezo wa ligi kuu ya Nbc nchini uliofanyika katika uwanja wa Kmc Complex uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam. Kocha Taoussi alianza na mfumo wa kukabia juu ulioisumbua Kmc chini ya Abdihamid Moulin…

Soma Zaidi
waziri pic

Waziri Jr Atimkia Dodoma Jiji

Mshambuliaji Waziri Junior ameisaini katika klabu ya Dodoma Jiji FC kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea KMC FC ambapo amemaliza mkataba wake msimu huu ulioisha wa ligi kuu. Awali Pamba Jiji FC ilionesha nia ya kumsajili Waziri Junior na ikamtumia hadi nauli ya kwenda jijini Mwanza kusaini mkataba wa Pamba Jiji FC ila hakwenda na…

Soma Zaidi
Bandaa

Kmc Yamsajili Banda

Klabu ya Kmc Fc imefanikiwa kuinasa saini ya winga Peter Banda raia wa Malawi na kuizidi kete klabu ya Singida Fountain Gate Fc ambayo ilianza mazungumzo na staa huyo mapema tangu mwishoni mwa mwaka jana. Banda ametua Kmc baada ya Singida Fg kuchelewa kukamilisha dili hilo huku kifungo cha kuzuiwa kusajili na Fifa pamoja na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks