Home Soka Yondani Atua Polisi Tanzania

Yondani Atua Polisi Tanzania

by Dennis Msotwa
0 comments

Beki Kelvin Yondani ametua katika klabu ya Polisi Tanzania kama mchezaji huru baada ya kuachana na Yanga sc msimu uliopita kutokana na kushindwana katika maslahi.

Beki huyo mkongwe ametua Polisi Tanzania kwa mkataba wa mwaka mmoja ambao utaisha rasmi januari mwakani.

Polisi Tanzania itafaidika na uwepo wa mkongwe huyo kutokana na kuwa na uzoefu wa kutosha kucheza ligi kuu nchini akiwa amezichezea Simba sc na Yanga sc kwa mafanikio makubwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited