428602941 958022405683691 2673800112584211654 n

Yanga Sc Yaipiga 5 Polisi Tanzania

Klabu ya Yanga sc imeendelea kusimamisha mnara wa mabao matano baada ya kuibamiza Polisi Tanzania kwa mabao 5-0 katika mchezo wa kombe la shirikisho la Azam Sports hatua ya 32 bora uliofanyika katika uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam. Ikianza mchezo bila mastaa wake Maxi Nzengeli,Djigui Diarra,Dickson Job,Ibrahim Hamad,Yao Kouassi,Pacome Zouzou ambao walikua jukwaani,Klabu…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks