Yanga SC yafuzu robo fainali CRDB kwa kishindo baada ya kuichapa Polisi Tanzania 7-1
Yaliyomo Ndani ya Makala Klabu ya Young Africans S.C. maarufu kama Yanga SC imefanikiwa kuonyesha ubora mkubwa baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Polisi Tanzania FC katika mchezo wa michuano ya CRDB Federation Cup uliochezwa katika Uwanja wa KMC Complex Stadium uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam. Ushindi huo mkubwa umeifanya…
