Home Makala Lampard Hali Tete

Lampard Hali Tete

by Sports Leo
0 comments

Licha ya kukosa wachezaji sita ambao walikutwa na Virusi vya Corona bado Manchester City imeweza kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea na kuzidi kuweka rehani nafasi ya Frank Lampard kuendelea kukinoa kikosi hicho.

Mpaka dakika ya 16 mabao ya Ikay Gundogan,Phil Foden na Kevin De Bryune yalitosha kuipa Man cityb uongozi wa mchezo ambapo Chelsea walipata bao la kufutia machozi dakika mbili za nyongeza ya mchezo.

Man city imepaa mpaka nafasi ya tano ya msimamo na alama 29 nne nyuma ya Man United na Liverpool huku Chelsea ikisalia na alama 26 katika nafasi ya nane ya msimamo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited