Home Soka Boko Hatihati Kuwavaa Zambia

Boko Hatihati Kuwavaa Zambia

by Sports Leo
0 comments

Inawezekana mshambuliaji John Bocco akawakosa Zambia katika mchezo wa kundi D kwenye michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) yanayoendelea nchini Cameroon.

Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Tanzania iliyoko katika michuano hiyo anatajwa kutokuwa fiti bado na yawezekana Erasto Nyoni akavaa kitambaa cha unahodha badala yake katika mchezo utaopigwa uwanja wa Limbe, saa 1:00 Usiku ( EAT ).

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited