Home Soka Mwambusi Aondoka Yanga sc

Mwambusi Aondoka Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Sasa rasmi klabu ya Yanga sc imeachana na kocha msaidizi Juma Mwambusi kwa sababu zilizoelezwa za kiafya ambazo zimethibitishwa na Mwenyekiti wa klabu hiyo Dk.Mshindo Msolla.

Hii ni mara ya pili kwa Mwambusi kuondoka klabuni hapo ambapo awali aliondoka pamoja na aliyekua kocha wa zamani Hans Van Plujm waliyeibukia tena pamoja katika klabu ya Azam Fc.

Bado mpaka sasa haijajulikana kama kocha huyo ameondoka kwa sababu zingine ama ni kwa matatizo ya afya kama ilivyoripotiwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited