Home Makala Simba sc Vs Kagera Kombe la Shirikisho

Simba sc Vs Kagera Kombe la Shirikisho

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Simba sc imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano ya kombe la shirikisho la Azam Sports Confederation Cup baada ya jana kuifunga African Lyon mabao 3-0 mchezo uliofanyika katika uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es salaam.

Mabao ya Ibrahim Ajib dakika za 10 na 44 pamoja na bao la dakika za mwishoni la Perfect Chikwende lilitosha kuipeleka timu hiyo katika hatua inayofuatia ya michuano hiyo ambapo watakutana na Kagera Sugar ambao walifanikiwa kuwafunga Eagle Stars kwa mabao 2-0 yaliyofungwa na Nassoro Kapama na Yusuph Mlipili.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited