Home Soka Malale Hamsini Aifungukia Simba sc

Malale Hamsini Aifungukia Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa timu Polisi Tanzania Malale Hamsini amesema katika kikosi cha Simba mchezaji yeyote anaweza kukufunga kuanzia Shomary Kapombe lakini pia hivi hauwezi kutaja timu 5 bora Africa usiitaje Simba SC Tanzania
“Simba hii mchezaji yoyote kuanzia kwa Kapombe anaweza kukufunga. Ukweli ni kwamba kwa sasa huwezi kutaja timu tano bora Afrika halafu uiache Simba, wamekamilika sana,” Malale Hamsini, Kocha Mkuu Polisi Tanzania.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited